Tangaza na Abd Da Hustler

Nywele za mtoto wa Beyonce 'gumzo', waanzisha kampeni kushinikiza amchane nywele

Wanaharakati wamegawanyika katika makundi lakini yote yanalenga katika kupinga, kuhamasisha na mwisho wa yote kuleta mabadiliko.
Mwanamke mmoja ambaye tunaweza kumuita mwanaharakati asiye rasmi, Jasmine Tolver wa Brooklyn, New York Marekani ameanzisha harakati/kampeni yenye lengo la kumshinikiza Beyonce kuzichana nywele za mwanae Blue Ivy kwa madai kuwa kuziacha katika hali zinazoonekana ni sehemu ya unyanyasaji au ukosefu wa matunzo bora ya mtoto.
Mwanamke huyo ameanzisha petition kwenye mitandao ambayo inahitajika kukusanya saini nyingi iwezekenavyo ili sauti imfikie Beyonce kwa nguvu.
Share on Google Plus

About Unknown

Naitwa Abdalla Ngowi, Napenda Michezo na kukupa habari mbalimbali kutoka katika kila kona ya ulimwengu huu!, karibu ABD da Hustler
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 MAONI :

Post a Comment